FASHION | KICHUPI CHA HAKIM CHAZUWA GUMZO
Mwanamitindo wa kimataifa wa kiume kutoka nchini Burundi, Hakim NKENGURUTSE anaeishi nchini Afrika ya kusini (Republic of South Africa) Mkoa wa Gauteng, mji wa Johannesburg.
Zimeonekana Takriban Picha zake 6 ambazo zimezuwa gumzo mitandaoni na kudaiwa kwamba amekeuka maadili ya kitamaduni za Burundi.
Pichani, Hakim ameonekana kuvalia nguo aina ya chupi huku yupo kifua wazi na miguuni kavaa viatu vya shingo ndefu, ambapo wengi wa watu hufananisha viatu hivyo na vya kike.


Tumepokea maoni ya watu wengi kuhusiana na mwanamitindo huyu wa kimataifa.
Tukumbuke, ni mwakajana mwishoni ambapo mwanamitindo huyo alikuwepo hapa nchizni ziyarani baada ya kuweza kushiriki kwenye michuano ya SWAHILI FASHION WEEK awamu ya 2017.